Home » » WAFANYAKAZI WA TANESCO KILIMANJARO WASHIRIKI KIKAMILIFU ZOEZI LA USAFI WA MAZINGIRA

WAFANYAKAZI WA TANESCO KILIMANJARO WASHIRIKI KIKAMILIFU ZOEZI LA USAFI WA MAZINGIRA

Wakitekeleza agizo la Raisi Mh.Dkt .John P.Magufuli kwa kushiriki usafi wa mazingira kila mwezi,wafanyakazi wa Shirika la Umeme Tanzania Mkoa wa Kilimanjaro tarehe 24/09/2016 Jumamosi ya mwisho wa mwezi wa SEPTEMBER 2016 walifanya usafi maeneo mbalimbali ndani ya mkoa wa Kilimanjaro ikiwemo Soko la Dar-Street,Kiusa street na Barabara ya Mahakama Kuu,Na kuhakikisha Mkoa unakuwa katika mazingira safi . 
 SAMUEL MANDARI -AFISA UHUSIANO TANESCO MKOA KILIMANJARO
1.     Wafanyakazi wa TANESCO James Kiting’ati , Bi Enna Ringo pamoja na wafanyakazi wenzao wakifagia barabara ya soko la Dar-street (Korongoni).

1.     Mfanyakazi wa TANESCO Bi Enna Ringo akishiriki zoezi la usafi kwenye mtaa wa Korongoni kwenye siku hiyo ya usafi ya kila mwezi

1.     Wafanyakazi Sanura Kahumba na Neema Sekibuyu wakishiriki zoezi la usafi mkoani Kilimanjaro.

1.     Wafanyakazi wa TANESCO Elinami Manyanga,Philipo Kessy na Bi ENNA RINGO wakiwajibika kufanya usafi.

Wafanyakazi wa TANESCO Lucy Ndelechi,Robson Chaya,Elinami Manyanga,James Kiting’ati wakiondoa  taka ngumu ilikuweka mkoa wa Kilimanjaro katika hali ya usafi
 


Petro Simkanga pamoja na Arbogast Ngoe watumishi wa shirika la umeme TANESCO Kilimanjaro wakiokota Takataka katikati ya Manisipaa ya Moshi katika zoezi hilo la usafi










Team nzima ya wafanyakazi wa TANESCO walioshiriki zoezi la usafi wakijipongeza baada ya kukamisha kazi hiyo.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Kilimanjaro Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa