Home » » MWAKILISHI MKAZI WA UNDP,ALVARO RODRIGUEZ AONGOZA ZOEZI LA KUOTESHA MITI KATIKA ENEO LA NUSU MAILI ,HIFADHI YA TAIFA YA MLIMA KILIMANJARO.

MWAKILISHI MKAZI WA UNDP,ALVARO RODRIGUEZ AONGOZA ZOEZI LA KUOTESHA MITI KATIKA ENEO LA NUSU MAILI ,HIFADHI YA TAIFA YA MLIMA KILIMANJARO.

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 
Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini Alvaro Rodriguez akisalimiana na wakazi wa kijiji cha Maruwa wilaya ya Moshi vijijini mara baada ya kuwasili kwa ajili ya shughuli ya kuotesha miti 120 katika eneo la nusu maili lililopo katika Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro.
  Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini Alvaro Rodriguez na wageni wengine wakitizama mnara wa kumbukumbu uliowekwa katika eneo hilo baada ya kufanyika kwa shughuli za uoteshaji miti 1510 mwaka 2015.
Kaimu Mwenyekiti wa Shirika lisilo la Kiserikali la kuhifadhi Mazingira (TEACA) Adoncome Mcharo akitoa taarifa fupi ya ukuaji wa miti iliyooteshwa katika eneo na nusu maili ,Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro kwa  Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini Alvaro Rodriguez na ujumbe wake (hawapo pichani)
Kaimu Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya TAifa ya Mlima Kilimajaro (KINAPA) Charles Ngendo akizungumza kabla ya kuanza zoezi la uoteshaji miti katika eneo hilo.
Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa kimataifa wa Wizara ya Mambo ya nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ,Kikanda na Kimataifa ,Balozi  Celestine Mushi  akionesha eneo ambalo lilipandwa miti na tayari imeanza kukua.
 Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini Alvaro Rodriguez akiwa na Mtaalamu wa Mawasiliano wa Shirika la Umoja wa Mataifa (UN) nchini Hoyce Temu wakitizama eneo lililooteshwa miti katika Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro. 
 Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa kimataifa wa Wizara ya Mambo ya nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ,Kikanda na Kimataifa ,Balozi  Celestine Mushi akitoa maelekezo eneo jingine lilaotakiwa kuoteshwa miti katika Hifadhi hiyo. 
 Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa kimataifa wa Wizara ya Mambo ya nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ,Kikanda na Kimataifa ,Balozi  Celestine Mushi  akiwa amebeba iche ya miti kwa ajili ya kutoesha katika eneo hilo. 
  Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa kimataifa wa Wizara ya Mambo ya nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ,Kikanda na Kimataifa ,Balozi  Celestine Mushi akiotesha miche ya miti katika eneo hilo.
  Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini Alvaro Rodriguez akiotesha miti katika eneo hilo la nusu maili lililopo katika Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro.
 Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini Alvaro Rodriguez akimwagia maji miti aliyootesha katika eneo hilo. 
Kaimu Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro,Charles Ngendo akiotesha mti katika eneo hilo.
Mtaalamu wa Mawasiliano wa Shirika la Umoja wa Kimataifa (UN) nchini ,Hoyce Temu akiotesha mti na kumwagia maji wakati wa zoezi la kuotesha miti katika eneo la Nusu Maili katika Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro.
Wananchi wengine waliojitokeza katika ziezi hilo wakiotesha miti.
  Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini Alvaro Rodriguez akiotesha mti katika eneo hilo huku balozi Mushi akishuhudia.
   Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini Alvaro Rodriguez kwa pamoja na Balozi Mushi wakimwagia maji katika  mti uliooteshwa katika eneo la Nusu Maili katika Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro.
Wananchi wengine wakiotesha miti katika eneo hilo.
  Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini Alvaro Rodriguez akiwa na Balozi Mushi katika alama ya kumbukumbu ya UN iliyokwa katika eneo hilo la nusu maili katika Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro.
 Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini Alvaro Rodriguez akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kulamizika kwa zoezi la uoteshaji miti ,eneo la nusu maili katika Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini. 

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Kilimanjaro Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa