Home » » POLISI KILIMANJARO YANASA SILAHA,DAWA ZA KULEVYA NA VIROBA VILIVYOPIGWA MARUFUKU

POLISI KILIMANJARO YANASA SILAHA,DAWA ZA KULEVYA NA VIROBA VILIVYOPIGWA MARUFUKU

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro,Kamishna Msaidizi Mwandaizi wa Jeshi la Polisi ,Wilbroad Mutafngwa akionyesha silaha zilizomakamatwa pamoja na Dawa za Kulevya aina ya Mirungi na Bhangi.
Misokoto ya Bhangi iliyokamatwa.
Dawa za kulevya aina ya Mirungi iliyokamatwa.
Silaha aina ya Bastola zilizokamatwa na jeshi hilo.
Baadhi ya Waandishi wa habari wakifuatilia taarifa ya Kamanda wa Polisi,(hayupo pichani.)
Mfanyabiashara wa vinywaji kwa jumla ,Gerald Kimario akiwa amebeba boksi la Pombe iliyofungwa katika vifungashio vya Plastiki baada ya jeshi la Polisi kukuta bidhaa hizo katika ghala lake  la kuuzia bidhaa zake.
Mkaguzi wa Kanda ya Kaskazini wa Mamlaka ya Chakula na Dawa,William Mhifadhi akitizama Pombe iliyopigwa marufuku ikiwa katika vifungshio vya plastiki.
Sehemu ya Vifungashio vya Plastiki vya Pombe viivyoppigwa marufuku hivi karibuni.
Watuhumiwa wa matukio ya usafirishaji wa Dawa za kulevya pamoja na Unyang'anyi wakiwa mikononi mwa jeshi la Polisi.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro,Wilbroad Mutfungwa akionesha gari lililokamatwa likiwa na mizigo ya Dawa za kulevya aina ya Milungi ,wahusika wakijaribu kuisafirisha.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii,Kanda ya Kaskazini.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Kilimanjaro Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa