|
Kamishna wa Polisi Jamii nchini ,CP Musa Ali Musa akitia saini katika kitabu cha wageni wakati wa ziara yake wilayani Mwanga. |
|
Baadhi
ya askari Polisi wa kada mbalimbali pamoja na viongozi kijiji cha
Kisiwani wakimsikiliza kamishna wa Polisi jamii,Musa Ali Musa alipofanya
ziara wilayani Mwanga. |
|
Kamishna
wa Polisi Jamii,Musa Ali Musa akiwa ameambatana na kamanda wa Polisi
mkoa wa Kilimanjaro SACP ,Robert Boaz wakitembelea maeneo mbalimbali
ikiwa ni pamoja na kukagua ujenzi wa kituo kipya cha polisi. |
|
Kamanada
wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro ,SACP Robert Boaz akizungumza na maofisa
wa Polisi wa kada mbalimbali katika wilaya ya Mwanga (hawako
pichani)kabla ya kumkaribisha kamishna wa Polisi jamii nchini ,CP ,Musa
Ali Musa. |
|
Kamishna
wa Polisi jamii Nchini,Musa Ali Musa akizungumza na maofisa wa Polisi
wa kada mbalimbali katika wilaya ya Mwanga (hawako pichani) |
|
Kamishna
wa Polisi nchini Musa Ali Musa akiwa katika picha ya pamoja na baadhi
ya maofisa wa jeshi hilo pamoja na baadhi ya wananchi katika wilaya ya
Mwanga. |
|
Kamishana atembelea kituo kikuu cha Polisi wilaya ya Mwanga. |
|
Kamishna wa Polisi Jamii nchini ,Musa Ali Musa akipokewa na gwaride maalumu lililoandaliwa na askari Polisi kituo cha Mwanga. |
|
Kamishna wa Polisi Jamii nchini ,Musa Ali Musa akitizama eneo ambalo linatazamiwa kujengwa kituo kipya cha Polisi. |
|
Kamishna Musa akiondoka eneo hilo mara baada ya kuhitimisha ziara yake katika wilaya ya Mwanga. |
Na Dixon Busagaga
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
0 comments:
Post a Comment