Home »
» WANAHABARI KILIMANJARO WAPIGWA MSASA JUU YA MATUMIZI YA INTERNET KWA SHUGHULI ZA UANDISHI WA HABARI
WANAHABARI KILIMANJARO WAPIGWA MSASA JUU YA MATUMIZI YA INTERNET KWA SHUGHULI ZA UANDISHI WA HABARI
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
|
Mratibu wa
Mafunzo ya Internet ,Andrew Marawiti akitoa ufafanuzi wa jambo wakati
wa mafunzo hayo. |
|
Baadhi ya
washiriki wakifuatilia mafunzo kwa makini. |
|
Mmoja wa
wakufunzi katika mafunzo hayo Seif Jigge akitoa maelezo kwa wanahabri
wanaohudhuria mafunzo ya Internet yanayofanyika katika Chuo cha
Ufundi VETA mkoa wa Kilimanjaro. |
|
Baadhi ya
washiriki katika mafunzo hayo. |
|
Darasa
likiendelea. |
|
Kila mshiriki
alikuwa na kazi ya kufanya kipindi chote cha mafunzo. |
|
Baada ya
kujifunza kwa muda mrefu darasa lililazimika kusimama na kunyoosha
mwili kidogo. |
|
Ukafika Muda wa
chakula kwa wenzetu ambao hawako katika mfungo. |
|
Washiriki
wakapata picha ya pamoja. |
0 comments:
Post a Comment