Zaidi
ya watu wawili wanadhaniwa kupoteza maisha baada ya kufunikwa na kifusi
wakati wakiendelea na shughuli za uchimbaji wa miamba kwa ajili ya
uchongaji wa tofari.
Tayari mpaka sasa mwili wa mtu mmoja aliyefahamika kwa jina Bless
Adrian, mkazi wa kijiji cha Nganjoni wilaya ya Moshi vijijini mkoani
Kilimanjaro.
Juhudi za kutafuta miili mingine inaendelea licha ya kukabiliwa na
changamoto ya zana za kufukulia kifusi.
Chanzo: Michuzi Blog
0 comments:
Post a Comment