Home » » WAFANYAKAZI WA BENKI YA NMB MOSHI WAJITOKEZA KATIKA ZOEZI LA USAFI .

WAFANYAKAZI WA BENKI YA NMB MOSHI WAJITOKEZA KATIKA ZOEZI LA USAFI .

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399


Meneja wa Benki ya NMB tawi la Moshi,Emanuel Kishosha akishiriki na wafanyakazi wenzake katika zoezi la kufanya usafi katika maeneo ya uwanja wa michezo wa King George.
Waganyakazi wa Benki ya NMB wa matawi ya Mandela na Mawenzi wakishiriki zoezi la usafi .
Wafanyakazi wa NMB wakihakikisha hakuna uchafu unasalia katika uwanja wa michezo wa King George.
Kazi ya ukusanyaji taka ikiendelea.
Kila mfanyakazi alishiriki zoezi la usafi bila ya kuchoka.
Meneja wa NMB,Emanuel Kishosha akisukuma tololi kuzoa taka.
Wafanyakazi wa Benki ya NMB,wakiwa katika picha ya pamoja na mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Amosi Makala pamoja na Mbunge wa jimbo la Moshi mjini (kushoto) mara baada ya kumaliza kufanya usafi katika uwanja wa michezo wa King George .
Meneja wa Benki ya NMB,tawi la Moshi ,Emanuel Kishosha akiwashukuru wafanyakazi wenzake wa benki hiyo kwa kujitokeza katika zoezi la kufanya usafi ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais John Magufuli.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini (0755659929)

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Kilimanjaro Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa