Home » » Wanahabari Kilimanjaro wamlilia Mwangosi

Wanahabari Kilimanjaro wamlilia Mwangosi

Askari wa Jenshi la Polisi wakilazimika kufanya kazi ya wanahabari kwa kupiga picha
mabango yaliyokuwa yamebebwa na wanahabari hao waliokuwa kwenye maandamano ya kumlilia Mwandishi Mwenzao,Marehemu Daud Mwangosi aliefariki Mkoani Iringa hivi Karibuni.
Wanahabari wa mkoa wa Kilimanjaro wakiwa katika maandamano.
Wanahabari wakiwa na mabango yenye jumbe mbali mbali.
Mwandishi wa habari mkongwe,Nechi Lyimo aliyeketi kwenye pikipiki,jana alilazimika kutoka hosptali alikokuwa akipatiwa matibabu na kuja kuungana na wanahabari wenzake katika maandamano.
Wanahabari wakitoa matamkpo mbamlimbali.
Picha na Dixon Busagaga,wa globu ya jamii,Moshi.
Kwa hisani ya Michuzi Blog

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Kilimanjaro Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa