Home » » Agrey Mareale Achanguliwa Mjumbe Wa NEC Moshi Mjini

Agrey Mareale Achanguliwa Mjumbe Wa NEC Moshi Mjini


Kada wa Chama cha Mapinduzi mkoani Kilimanjaro, Agrey Mareale jana amechaguliwa kuwa Mjumbe wa NEC kutoka Wilaya ya Moshi mjini Mkoani Kilimajaro.

Mareale amemwangusha mpinzani wake katika nafasi hiyo Buni Ramole. Aidha katika uchaguzi huo pia ulimchagua Bi. Elizabeth Minde kuwa Mwenyekiti wa Chama hicho wilaya ya Moshi Mjini.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Kilimanjaro Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa