Home » » CHADEMA WAUNGURUMA HAI.

CHADEMA WAUNGURUMA HAI.


 Mwenyekiti wa Chadema Taifa na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe(katikati)akiwa na Mbunge wa jimbo la arusha mjini Godbless Lema(kushoto)kwenye mkutano wa hadhara jimbo la Hai Jana ikiwa ni mwanzo wa ziara  ya siku tatu ambayo inafanywa kwa helikopta kwenye Jimbo la hai ambapo mbunge wa Hai Freeman Mbowe ameambatana na wabunge zaidi ya 11 kutoka majimbo mbalimbali nchini.
 Mbunge wa jimbo la arusha mjini Godbless Lema akiunguruma kwenye mkutano wa hadhara jimbo la Hai Jana ikiwa ni mwanzo wa ziara  ya siku tatu ambayo inafanywa kwa helikopta kwenye Jimbo la hai ambapo mbunge wa Hai Freeman Mbowe ameambatana na wabunge zaidi ya 11 kutoka majimbo mbalimbali nchini.
Sehemu ya Umati mkubwa uliyojitokeza kumsikiliza Mwenyekiti wa Chadema Taifa na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe(hawapo pichani)akiwa na Mbunge wa jimbo la arusha mjini Godbless Lema(kushoto)kwenye mkutano wa hadhara jimbo la Hai Jana ikiwa ni mwanzo wa ziara  ya siku tatu ambayo inafanywa kwa helikopta kwenye Jimbo la hai ambapo mbunge wa Hai Freeman Mbowe ameambatana na wabunge zaidi ya 11 kutoka majimbo mbalimbali nchini.
Picha na Chadema

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Kilimanjaro Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa