Home » , » CRDB NA KCMC WAZINDUA MPANGO WA KULIPIA HUDUMA ZA AFYA KWA NJIA YA KADI

CRDB NA KCMC WAZINDUA MPANGO WA KULIPIA HUDUMA ZA AFYA KWA NJIA YA KADI


Mkurugenzi mkuu wa Benki ya CRDB Dk Charles Kimei akifanya malipo kwa njia ya kadi katika hospitali ya rufaa ya KCMC ikiwa ni ishara ya uzinduzi rasmi wa huduma hiyo.
Baadhi ya wageni waalikwa katika hafla ya uzinduzi wa tawi dogo la CRDB pamoja na uzinduzi wa utolewaji wa huduma ya malipo ya gharama za matibabu kwa njia ya Kadi katika hosptali ya rufaa ya KCMC.
Wachungaji wakishirikisha neno la Mungu wakati wa hafla ya katika hosptali ya rufaa ya KCMC ya uzinduzi wa tawi dogo la CRDB pamoja na uzinduzi wa utolewaji wa huduma ya malipo ya gharama za matibabu kwa njia ya Kadi katika hosptali ya rufaa ya KCMC.
Baadhi ya mameneja na wafanyakazi wa CRDB wakifuatilia hafla hiyo.
Tawi dogo la Benki ya CRDB lililozinduliwa katika hospitali ya rufaa ya KCMC .
Askofu mkuu wa kanisa la kiinjili la kilutheli dayosisi ya kaskazini Dk Martini Shao akiwa na mkurugenzi mkuu wa Benki ya CRDB Dk Charles Kimei pamoja na wageni wengine mbalimbali wakiwa katika picha ya pamoja wakionesha kadi ya mfano ya kulipia gharama za matibabu katika hospitali ya rufaa ya KCMC . Na Fadhili Athumani wa Kijiwe Chetu Blog
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Kilimanjaro Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa