Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
UPENDO MBAZI MSUYA (38) ni mkazi wa Mwanga Kilimanjaro nambari
yake ya ushiriki ni MS 11, ni mkulima wa shamba lenye ukubwa wa ekari 2 na mfugaji wa ng'ombe 3.
ANADHANI YEYE NI MFANO WA KUIGWA: Kwa sababu mara
nyingi huwashauri wakulima wenzie kulima kwa wakati na kupanda mbegu bora na
kwa kipimo, kutumia mbolea na kunyunyizia dawa pindi wadudu wanapoharibu mazao. "Nina shamba lenye ukubwa wa ekari 2. Kwa
mwaka ninavuna mazao gunia 20"
MAISHA PLUS/ MAMA SHUJAA WA CHAKULA
MAISHA PLUS/ MAMA SHUJAA WA CHAKULA
0 comments:
Post a Comment