Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Chama cha Waongoza Watalii Mlima Kilimanjaro na Meru (Kili-Meru)
kimemuomba mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama kuwatafutia
maeneo ya kilimo katika mikoa mingine ili waweze kujikita zaidi kwenye
kilimo badala ya kutegemea kazi ya kuongoza watalii pekee.
Mwenyekiti wa chama hicho, Faustine Chombo alitoa
ombi hilo jana wakati wa mkutano mkuu wa chama uliofanyika mjini Moshi.
Alisema wakati ambao kunakuwa na msimu wa watalii kidogo, wanakuwa
hawana kazi na hivyo wangependa kujihusisha na shughuli nyingine ya
kujipatia kipato.
Chanzo:Mwananchi
Chanzo:Mwananchi
0 comments:
Post a Comment